Jaji Mkuu wa Tanzania, PROF. IBRAHIM
JUMA amewataka watendaji na wataalamu wa Mahakama, nchini kujitathmini na kuona
namna wanavyoweza kutoa msukumo wa maboresho wa Mahakama katika suala la kutoa
haki kwa wakati
Jaji PROF. JUMA amesema hayo Jijini ARUSHA wakati akifungua
Mkutano wa watendaji na wataalam wa Mahakama wenye lengo la kutathmini
utekelezaji wa mpango wa maboresho wa Mahakama nchini.
Jaji Mkuu huyo wa Tanzania amesema kuwa kuna tatizo la utoaji wa
taarifa muhimu kwa Wananchi kitika MAHAKAMA jambo linalowanyima wananchi haki
ya kufuatilia mashauri yao.
Pia Jaji Mkuu amewataka watendaji kufanya Tathmini na kuona
namna wanavyeweza kutoa msaada katika kufikia malengo yaliyokusidiwa na
Mahakama.
Msikilize hapa chini Jaji Mkuu akiongea zaidi.
No comments:
Post a Comment