
Hayo yamebainishwa na
Mkuu wa wilaya ya Mtwara,Evod Mmanda wakati akizungumza katika uzinduzi wa
zoezi la upandaji wa Miti katika wilaya hiyo ambapo pia amezitaka halmashauri
zote katika wilaya ya Mtwara kuzuia na kudhibiti uvunaji holela wa miti kwani
hali hiyo inasababisha uharibifu mkubwa wa mazingira.

kuwa utaratibu huo si
wake bali utaratibu wa kisheria na hivyo atakayekiuka atachukuliwa hatua Kali
za kisheria ikiwemo kufikishwa mahakamani. Awali kaimu katibu tawala wa
Wilaya ya Mtwara,Fransis Mkuti akisoma taarifa ya upandaji miti katika wilaya
hiyo kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2017 had machi mwaka huu amesema kuwa jumla
ya miti 594876 imepandwa.
John G Massawe,Jamii
FM
No comments:
Post a Comment